3 Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja LA II
2025-11-17T10:00:26+00:00
Ubungo Municipal Council
https://cdn.greattanzaniajobs.com/jsjobsdata/data/employer/comp_4054/logo/Government.jpg
http://www.ubungomc.go.tz/
FULL_TIME
Dar es Salaam
Dar es Salaam
00000
Tanzania
Public Administration, and Government
Admin & Office, Civil & Government
2025-11-24T17:00:00+00:00
Tanzania
8
Duties and Responsibilities
i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;
ii. Kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa;
iii. Kutunza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi, wageni,tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine;
iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
vi. Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;
viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na
ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;
- Kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa;
- Kutunza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi, wageni,tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;
- Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na
- Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
- Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja
- Programu za kompyuta za ofisi: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher
- Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six)
- Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili
- Kufaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja
- Kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali
JOB-691af23a3056f
Vacancy title:
3 Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja LA II
[Type: FULL_TIME, Industry: Public Administration, and Government, Category: Admin & Office, Civil & Government]
Jobs at:
Ubungo Municipal Council
Deadline of this Job:
Monday, November 24 2025
Duty Station:
Dar es Salaam | Dar es Salaam | Tanzania
Summary
Date Posted: Monday, November 17 2025, Base Salary: Not Disclosed
Similar Jobs in Tanzania
Learn more about Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council jobs in Tanzania
JOB DETAILS:
Duties and Responsibilities
i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;
ii. Kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa;
iii. Kutunza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi, wageni,tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine;
iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
vi. Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;
viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na
ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 80 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Work Hours: 8
Experience in Months: 12
Level of Education: professional certificate
Job application procedure
Click Here to Apply Now
All Jobs | QUICK ALERT SUBSCRIPTION